Sana wanaukarimu ambao sikutegemea aisee
nimesikitika sana kukukosa.....taarifa nilipata lakini mambo ya j2 unajua tena.....natumaini salamu zangu ulipata na next tym ukija tena nitakuwa wa kwanza kukulaki
Mkuu kumbe upo Arusha basi mkuu tuwe tunawasiliana maana mambo ni bama bam JF Arusha.Hao walokupoke uliwa PM ndo maana wamekupokea hao tu. Ungetoa taarifa tungejipanga pale stand kukupokea kama mbunge vile. Any way karibu sana.
Fafanua Inyagi unakusudia nini?Hivi siku hivi kuna ka ubaguzi eeh!? Nauliza tu kama Filipo au katibu ameanzisha ccj ndani ya JF?
Nawashukuruni kwa mapokezi mazuri mliyonipa dah hata siamini yaani nyie ni mfano wa kuigwa Mzee wa mpango shukurani BW Barikiwa PJ Sante sana Sahara voice thanx Mzee wa Upekuzi thanx na wengine wote shukrani sana
Nawashukuruni kwa mapokezi mazuri mliyonipa dah hata siamini yaani nyie ni mfano wa kuigwa Mzee wa mpango shukurani BW Barikiwa PJ Sante sana Sahara voice thanx Mzee wa Upekuzi thanx na wengine wote shukrani sana
Fafanua Inyagi unakusudia nini?
Si unakumbuka tulivyokubaliana next time????
Bila shaka SALAAM ze2 nyingi tuliokuwa mbali na mji umeipata kupitia Katibu we2 ama M/kiti na hakika mara nyingine jisikie unakuja nyumbani. Karibu na siku nyingine!
nikija siku nyingine nafikia nyumbani kwako (sikujua kama upo arusha aisee)