Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Kwa hiyo hizo 140,000 ndiyo za CUF na CCM?tarafa ya igunga mjini kuna wapiga kura 30000 na tarafa za vijijini ni 140000
Kwa hiyo hizo 140,000 ndiyo za CUF na CCM?tarafa ya igunga mjini kuna wapiga kura 30000 na tarafa za vijijini ni 140000
Source.: AL-HUDAilikuwa masiku sasa imebaki siku moja kabla wakazi wa mji wa igunga hawajafanya maamuzi ya kumchagua mbunge wao ambapo mchuano mkali upo kati ya CUF na CCM lakini mwelekeo unaonyesha CUF wataibuka washindi kwa kuwa inakubalika sana katika tarafa mbili kati ya nne tarafa ya SIMBO kwao na mgombea na tarafa ya IGURUBI, tarafa ya CHOMA CCM inakubalika ikifuatiwa na CDM tarafa ya igunga mjini inakubalika CDM ikifuatiwa na CUF. Mkigoma ni mmoja niliye katika timu ya kampeni za CUF.
Mtu yeyote mwenye akili hawezi kusaini matokeo yaliyochakachuliwa. Sasa kwasababu mmejiandaa kuiba ndo maana mnatapatapa kuwa hatasaini. Kweli hatasaini na shughuli yake mtaiona.Hakuna siku mbaya kwenye maisha ya Joseph Kashidye kama siku ya Jumapili jioni!
Nayasema hapa ya maneno na siku ya Jumatatu tawakumbusha tena Joseph Kashidye, atakataa kusahini matokeo ya uchaguzi wa Igunga
Hakuna siku mbaya kwenye maisha ya Joseph Kashidye kama siku ya Jumapili jioni!
Nayasema hapa ya maneno na siku ya Jumatatu tawakumbusha tena Joseph Kashidye, atakataa kusahini matokeo ya uchaguzi wa Igunga
naomba nikushauri omba Nape akusaidie pesa ufungue genge.Ni bora zaidi kuliko unavyojiaibisha hapa JF
Wewe na Nape Kwangu ni waganga njaa tu!
Wewe kila dakika unamtaja Nape kama unampenda mpikie Mtori takuletea na Mbege mkanywe wote sawa!
hata ukinitusi mimi sikulipi.
Haya tutayajua leo jioni.Hakuna siku mbaya kwenye maisha ya Joseph Kashidye kama siku ya Jumapili jioni!
Nayasema hapa ya maneno na siku ya Jumatatu tawakumbusha tena Joseph Kashidye, atakataa kusahini matokeo ya uchaguzi wa Igunga