Wana-IFM tujuzane kwa haya machache.

Jaman,me kuna m2 pale mwaka wa pili,alvyoniambia ni 1.8 ni meal an acc,lak 2 stationery,lak 6 field,from hyo inayobak ndy ada ambayo ni ya kulipia mwnyw.ambayo unaweza lipa semister ya pili,inayotakiwa ss ni ile lak 2.5,so mwenye ufafanuz mwngne zaid a2juze.maana join nmeona stationery lak3.c'elewi.
 
Jaman,me kuna m2 pale mwaka wa pili,alvyoniambia ni 1.8 ni meal an acc,lak 2 stationery,lak 6 field,from hyo inayobak ndy ada ambayo ni ya kulipia mwnyw.ambayo unaweza lipa semister ya pili,inayotakiwa ss ni ile lak 2.5,so mwenye ufafanuz mwngne zaid a2juze.maana join nmeona stationery lak3.c'elewi.

kweli inachanganya kwani huyo ukiyemuuliza amesemaje kuhusu ada lazima ulipe hata kama una loan?
 
kweli inachanganya kwani huyo ukiyemuuliza amesemaje kuhusu ada lazima ulipe hata kama una loan?
accordin 2 alivyoniambia,jbu n hapana,kulipa ni hyo lak 2.5,then hyo ada kumalizia ht sem ya pili.so,kama kuna wenye maujuz zaid ya hapo,wa2'ambie.
 
kweli inachanganya kwani huyo ukiyemuuliza amesemaje kuhusu ada lazima ulipe hata kama una loan?

mkuu walishakwambia utakua registered pale utakapokua na payslip mkonon bodi huwa inachelewesha distribution of loan kwaiyo lazima utalipa 2
 
mkuu walishakwambia utakua registered pale utakapokua na payslip mkonon bodi huwa inachelewesha distribution of loan kwaiyo lazima utalipa 2

Kuna kurudishiwa pesa yangu kweli baada ya bodi kuingiza pesa ya ada.
 
accordin 2 alivyoniambia,jbu n hapana,kulipa ni hyo lak 2.5,then hyo ada kumalizia ht sem ya pili.so,kama kuna wenye maujuz zaid ya hapo,wa2'ambie.

Ngoja tusubiri wajuvi manake kila mtu anaongea kile anafikiri tu.
 
nina wasiwasi kidogo na IFM....kwnye joining instruction yao cjaona wakiizungumzia HESLB... cha msingi tuende na 1050000 kuwasikilizia kwanza na pia kama 400000 ya chumba na bado hela ya meals tukiwa tunasubiria BOOM....
na pia bado cjaelewa kama hela tulizopewa kuna field ndan yke coz pale field ni lazma uifanye 2 years...

admission letter imesema under private sponsorship bt ukisoma join instruction wamelizungumzia vizuri suala la bodi,
 
co 70% ni 60%
emu tusaidie kidogo bro, hiyo % ya ada yote ama ile baki after mkopo? Na kama ya ada yote then mkwanja wangu watanirudishia after bodi wakiwa2mia?

% ya ada yote, na hawawez kurudisha ila ukipata mkopo unafidia.
 
sikieni niwaambie kila chuo kina m2 officer wa mkopo ambaye yupo ktk chuo ambaye kazi yk ni ku coordinate kati ya bodi ya mikopo na chuo yaan wanafunzi xo mm ningeona ni vema kwa kuwa confussion ni nying jx go dere utapata kujua kila ki2 kaka ushauri wangu 2
 
It's really complicated hivi huwa wanatoa maelekezo kuhusiana na mkopo chuoni kabla ya kuwa registered?
Hakuna ukifikachuo ni taratibu za chuo zinaendelea kama kawaida majina yatabandikwa kwa awamu kadri bodi wanavyoingiza pesa lakini kabla ya registration huwa mambo ya mkopo kwa IFM hayanakipaumbele!...
 
accordin 2 alivyoniambia,jbu n hapana,kulipa ni hyo lak 2.5,then hyo ada kumalizia ht sem ya pili.so,kama kuna wenye maujuz zaid ya hapo,wa2'ambie.
Inawezekana wamebadilisha lakini kipindi cha nyuma ilikuwa ni lazima ulipie hata kama unamkopo na IFM kila test wanatoa exams Id mpya kwa hiyo wale waliofikisha kiwango cha ada kwa huo muda ndiyo watakaolipa na hii ilifanyika hivi kwa sababu IFM kulikuwa na wanafunzi wengi sana wanaojilipia ada wao wasiotegemea mkopo.
 
Kuna kurudishiwa pesa yangu kweli baada ya bodi kuingiza pesa ya ada.
Pesa yako utarudishiwa lakini hadi mwisho wa semister au mwisho wa mwaka lakini siyo pesa ikitoka tu unarudishiwa maana hata bodi huwa wailipa hiyo ada kwa awamu hivyo ikikamilika tu wanakurudishia pesa yako!...
 
Chuka ada kwa mwaka,toa kiasi utakacholipiwa na bodi chukua 60% ya jibu ukalipe ada.Ada lazima iende sambamba na malipo ya kitambulisho, IFMSO.Hakuna sababu ya kulipa ada yote kwamba utarudishiwa na chuo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom