Zeddicus
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 627
- 534
Wale mliochaguliwa IFM haswa wa Non computing courses na kupata mkopo naomba tujuzane kwa haya machache.
1.Jinsi ya kujua asilimia ngapi natakiwa kulipa chuoni ukizingatia nimepewa mkopo wa Tsh 3,952,500 course ni Insurance and risk management.
2.Direct cost ni Tsh ngapi nazotakiwa kulipa?
3.Ni hayo tu wakuu naomba ushirikiano wenu.
1.Jinsi ya kujua asilimia ngapi natakiwa kulipa chuoni ukizingatia nimepewa mkopo wa Tsh 3,952,500 course ni Insurance and risk management.
2.Direct cost ni Tsh ngapi nazotakiwa kulipa?
3.Ni hayo tu wakuu naomba ushirikiano wenu.