Mpaka sasa sielewi jana nilikuwa bar gani. Dah kadi ya mwaliko sina lakini wacha nije kichwa kichwa nikapunguze stress. Nikifukuzwa ndo ntakuwa nimesahau machungu ya wiki I took much time kwenye jukwaa la stress kumbe mko huku!
Blaki Womani jananilikuwa lonely mbaya simwoni sweet wangu kokote hadi hewani dah
Baba v ! Habari za masiku ?
Mi najua hujanialika, nilikua napita njia tu, ila naulizia hiyo list ulioishusha hapo ndy ya vya p popular wa cc au ? Manaake sijaona "mfia parokia" au "ustazi" yeyote ktk list !
Nway kua na J'2 tulivu .
Siku wakicharuka huwa wana tabia ya kuungana afu wewe ndo utatafuta pa kutokea
Baba V naona loku imeng'ang'ania dah! nimeenda kanisani nimejitahidi kuweka network sawa. ngoja niwatafute LiverpoolFC, Philipo, Arushaone, mjomba wangu Preta leo kutoka itakuwa ngumu, manake Mr. yupo home anamhofia beki tatu ataingilia jimbo.mkuu Mungi njoo tu mkuu,hapa hakuna cha kadi wala nini,njoo tuungane tusahau shida zetu japo kwa muda
Wanajamvi ni dhahiri kuwa wiki hii tumeshuhudia mvurugano mkubwa sana hasa dar hii na kule zenji jambo ambalo limenifanya nitumie muda mwingi kule jukwaa la stress tukipeana za uso na wadau wengine, sasa leo asubuhi nimeanza rasmi wikend kwa ajili ya kuflash stress zote,siku nzima ya leo jumamosi na kesho jumapili nitapatikana mfululizo Makirikiri bar nataka kuifuta wiki hii katika hesabu zangu za mwaka.karibtni makirikiri thìs week end.
C.C
Kaizer,mtambuzi,Nazjaz,Arushaone,C6,Sweetlady,Mamdenyi,Bishanga,Ritz,Erickb52,Arabela,Pombekali,safari ni safari,Mzizimkavu,mkiva,Katavi,Zubedayo_Mchuzi,charminglady,Kongosho,gfsonwin,Asprin,cacico,Ruhazwe Jr,BADILITABIA,Masopakyindi,Gwangambo,Excutive sister,Lara 1,zomba,Mama wawili ,you are all welcome