Basi kumbe Blaki Womani alinidanganya. Kumbe haya makitu umefundishwa na mama yako?Hahahaha! babu Asprin umenikumbusha mbali sn aisee umri huo ndio mama alikua ananipa training ya namna ya kuitumia nyonga nitakapokua mkubwa,so pale ilikua naprove jins nilivofuzu kipengere cha mauno lol!weka bas na hiyo albam ingine bana!
Hebu kam this weiiii.... nahitaji haya makitu ujue...
Khaaa! Nimekoma! Nisamehe bure!
Hurry.... Cant wait no more...Unanipagaje raha sasa?? ndo maana sitakuacha kamwe.
You are my wife and a real friend. Siyo kama wengine wananizuga tu agggrrrrrrr!!
Cantalisia nipo my dia mzunguko wa mambo naona Rejao amekubana sana.......babu hana lolote anandoto ya wanzuki ya janablack woman nilikumiss sn my dia! kuwa makin na babu ucwe unamhadithia mambo yetu ona leo kayaani huku barazan lol!
Cantalisia nipo my dia mzunguko wa mambo naona Rejao amekubana sana.......babu hana lolote anandoto ya wanzuki ya jana