Elections 2010 Wana chadema tuna kila sababu kutembea vipya juu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kagalala

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
2,403
1,132
Ndugu zangu wana JF, kwa maoni yangu nadhani wanachama wa CHADEMA wanaweza kutemba vipya juu kwamba wanakubalika Tanzania. Nasema hivyo si kwamba tumeshinda uchaguzi hila tumepata kura nyingi kwa mtaji kigodo. Kama ni biashara Chadema wamepata faida kubwa sana kulinganisha na CCM.
Nikiongelea kiasi cha pesa ambacho CCM imetumia kuweza kupata kura Milioni 5 na kiasi cha pesa ambacho CHADEMA imetumia kuweza kupata kura milioni 2, ni kwamba CCM imepoteza pesa nyingi sana katika uchaguzi huu. Ni uhakika CCM imetumia si chini ya 15 billion TZS, katika uchaguzi huu (mwenye data kamili anaweza kutupa makadrio) na CHADEMA hawajafikisha hata billion 3 TZS (mwenye data amwage)
CCM imepata kura nyingi kutoka kwa watu ambao wamepiga kura kwa sababu wamepata fulana na kofia za green and yellow. Chadema imepata kura kutoka kwa watu wanaoitakia mema Tanzania na wenye uchu wa mabadiliko na maendeleo.
CCM imetumia vyombo vya habari hasa TBC na magazeti yenye kujikomba kwao, lakini CHADEMA haikuwa na TV au redio iliyokuwa inavutia kwao.
CCM imetumia mali za serikali kama vile magari kupiga kampeni, wakuu wa mikoa na wilaya, makatibu tarafa na kata wote wengi kama sio wote walipigia kampeni CCM waweze kuendelea na vyeo vyao. CHADEMA haikuwa na hiyo previlage.
Kwa mtazamo wangu CHADEMA wamepata kura nyingi zenye maana kuliko CCM waliopata kura nyingi za kununua.
WANAJF NIPE MAWAZO YENU
 
Ndugu zangu wana JF, kwa maoni yangu nadhani wanachama wa CHADEMA wanaweza kutemba vipya juu kwamba wanakubalika Tanzania. Nasema hivyo si kwamba tumeshinda uchaguzi hila tumepata kura nyingi kwa mtaji kigodo. Kama ni biashara Chadema wamepata faida kubwa sana kulinganisha na CCM.
Nikiongelea kiasi cha pesa ambacho CCM imetumia kuweza kupata kura Milioni 5 na kiasi cha pesa ambacho CHADEMA imetumia kuweza kupata kura milioni 2, ni kwamba CCM imepoteza pesa nyingi sana katika uchaguzi huu. Ni uhakika CCM imetumia si chini ya 15 billion TZS, katika uchaguzi huu (mwenye data kamili anaweza kutupa makadrio) na CHADEMA hawajafikisha hata billion 3 TZS (mwenye data amwage)
CCM imepata kura nyingi kutoka kwa watu ambao wamepiga kura kwa sababu wamepata fulana na kofia za green and yellow. Chadema imepata kura kutoka kwa watu wanaoitakia mema Tanzania na wenye uchu wa mabadiliko na maendeleo.
CCM imetumia vyombo vya habari hasa TBC na magazeti yenye kujikomba kwao, lakini CHADEMA haikuwa na TV au redio iliyokuwa inavutia kwao.
CCM imetumia mali za serikali kama vile magari kupiga kampeni, wakuu wa mikoa na wilaya, makatibu tarafa na kata wote wengi kama sio wote walipigia kampeni CCM waweze kuendelea na vyeo vyao. CHADEMA haikuwa na hiyo previlage.
Kwa mtazamo wangu CHADEMA wamepata kura nyingi zenye maana kuliko CCM waliopata kura nyingi za kununua.
WANAJF NIPE MAWAZO YENU

Maneno yakujifariji hayo ila ni vizuri kufarijiana, kwani dhoruba iliyo wakuta hamkuitegemea aisee. Umekosa kunde wasingizia.................................
 
Back
Top Bottom