AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
- Thread starter
- #21
Wana CCM wenzangu tuamke. Jambo la msingi ni kuwa tunahitaji Tanzania safi na wala sisi CCM. KWANI UFISADI WOTE HUU SISI WANA ccm HATUONI? TUACHECHE UTOTO TUJENGE NCHI NA WALA SI CHAMA.
mkuu umesema jambo jema sana! Kwani ni lazima sisi kama wanaccm halisi tusimame kwa pamoja tena kwa jambo la dharura ili tuweze kuikomboa nchi na kurudisha imani kwa jamii, kwani mtoto akijisaidia mkononi huwezi kuukata mkono na badala yake unatakiwa uuoshe so vivyo hivyo kwa ccm hatutakiwi kuiacha na kuhamia chama kingine kama chadema kawani hakina maadili wala future yetu.