Hivi wanajamii hivi huu ushindi wa kishindo ndiyo upi huo? Je ni wa kishindo kwa sababu alishinda kwa kura 61% au kwa mazingitra ya utata wa matokeo yaliyokuwa yanatangazwa na NEC?
Nipi hapa Newala na kuna shmrashamra ya kumpongeza Rais Kikwete kwa ushindi huo wa Kishindo.
Nipi hapa Newala na kuna shmrashamra ya kumpongeza Rais Kikwete kwa ushindi huo wa Kishindo.