Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
Akihutubia Dr. Slaa na kuwashangaa wabunge wa CCM kwa unafiki wao hasa wanapopiga kelele lakini amesema waliotia saini kwa ZITTO ni 7 tu.
watu wamejiunga Chadema na kutupa kofia na nguo za CCM.
Kiukweli CCM hawana chao tena hapa nchini kuanzia 2015 kwa aliyeona ile habari awe shahidi mwema.
SOURCE: ITV HABARI USIKU Tarehe 22.04.2012
watu wamejiunga Chadema na kutupa kofia na nguo za CCM.
Kiukweli CCM hawana chao tena hapa nchini kuanzia 2015 kwa aliyeona ile habari awe shahidi mwema.
SOURCE: ITV HABARI USIKU Tarehe 22.04.2012