Katika kile kinachoonekana kuwa wananchi wa vijijini nao wanaichoka ccm kwa kasi ya ajabu na kuona chama mbadala ni chadema, wana CCM zaidi ya 1,000 pamoja na wenyeviti wa vitongoji kadhaa wamerudisha kadi za ccm na kujiunga chadema. Hilo ni pigo kubwa kwa ccm hasa ukizingatia kutakuwa na uchaguzi mdogo Arumeru!
Source: mwananchi uk wa 5
Source: mwananchi uk wa 5