Vuguvugu la kuwapata wagombea watakaochuana na hatimaye kupigiwa kura kujaza nafasi ya Ubunge iliyoachwa wazi wa marehemu Jeremiah Sumari inashika kasi.Ninachowaomba wana-Arumeru Mashariki msidanganyike na propaganda zinazoenezwa na wenye dola na wapambe wao.Wapigeni chini siku ya uchaguzi maana wameshashindwa kuleta mabadiliko ya kweli.