KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wana wa familia hii hamjambo?.Kama nionavyo mimi hawa jamaa kama hawatabadilisha mabei yao ya vifurushi vyao hawatapata wateja,kwa hasa sisi tulio huku mikoani huduma ya cable unafungiwa kwa mwezi unalipia sh elfu5 chaneli zote unapata zikiwamo za super sport,ije kuwa wao mipira hawana wanarusha chaneli za fta zinazopatikana kwenye cable kwa kukuuzia kwa gharama za juu.