Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,145
- 13,216
Hii kauli ameitoa Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Kigoma Malima wakati akitoa tathmini ya vitu alivyoibiwa ambavyo ilikuwa ni fedha taslimu dola 4000 na Tsh 1.5m, akisema kwake yeye ilikuwa kama vijisenti tu (pocket money) vya kumsaidia akiwa njiani.............kauli kama hii (vijisenti) iliwahi kutolewa na Mh. Andrew Chenge na kuzua majadiliano makali miongoni mwa jamii.