Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Ni takribani miezi sasa imepita tokea yatokee ya akina Jairo,Luhanjo,Ngereja,Chami,Maige na wenzao waliopigwa chini kufuatia tuhuma za kukiuka sheria za utumishi wa umma na kupelekea Taifa letu kukumbwa na machungu lukuki,sasa leo naombwa kujuzwa hawa watu wako wapi leo na ni hatua zipi za kimahakama zilizokwisha kuanza kuchukuliwa dhidi ya watuhumiwa... na kama hapana hatua zozote basi na tuamini waliondolewa kimizengwe na hivyo warudishwe kwenye utumishi wao