Tanzania Mpya
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 253
- 144
Leo umeme umekatwa mapema jioni na wamerejesha saa hizi, saa 4 usiku. Sijui ni hila ili tusione hekaheka za CDM za leo huko Jangwani?
Tanesco wametumiwa kisiasa?
Tanesco wametumiwa kisiasa?
Leo umeme umekatwa mapema jioni na wamerejesha saa hizi, saa 4 usiku. Sijui ni hila ili tusione hekaheka za CDM za leo huko Jangwani?
Tanesco wametumiwa kisiasa?
leo umeme umekatwa mapema jioni na wamerejesha saa hizi, saa 4 usiku. Sijui ni hila ili tusione hekaheka za cdm za leo huko jangwani?
Tanesco wametumiwa kisiasa?
Mikoa mingi sana leo wamefanya hvyo,Mwanza,DSM,Mtwara etc,kweli tu watawala wenye akili nyepesi
Mikoa mingi sana leo wamefanya hvyo,Mwanza,DSM,Mtwara etc,kweli tu watawala wenye akili nyepesi
ccm na nape oyeeeee...maslahi matumbo yao hawa ccm wana roho mbaya sana wanaweza kunywa hata uji wa mtoto hawa