idadi ya wabunge 54 kutokuwepo kwny maswala ya msingi ni udhaifu unaendelea kwa watanzania kufanya maamuzi kwa kususa au kuacha kushiriki . tabia hii inakua na imeendelea hata kweny chaguzi kubwa . chukulia mfano uchaguz uliopita. watanzania tuwe serious kweny maswala ya msingi. mwenye list ya wabunge wasiokuwepo aiweke watanzania tuwajue na sabab zao