Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nikiwa nimelala. Joto kali. Umeme hakuna. Nimeoga maji ya chumvi. Ya kunywa nanunua ndoo sh.600. Kero.
Mara napokea hii crap kutoka kwa namba ambayo ata siijui:
MY TAKE:
Hakuna haki bila wajibu; hakuna wajibu bila haki
Mara napokea hii crap kutoka kwa namba ambayo ata siijui:
"WANANCHI TAFADHALI, WAKUJENGA NCHI NI SISI NA WA KUBOMOA NI SISI, TUNAPODAI HAKI PIA TUTIMIZE WAJIBU, MIGOMO NA MAANDAMANO KILA KONA NI SULUHU YA MATATIZO? TUSILAUMU JESHI LA POLISI, TUACHE SIASA ZA MIGOGORO NA KUTAFTA UMAARUFU, UCHAGUZI UMEPITA, TUKUBALI UKWELI"TUMA KWA WATU 10.
MY TAKE:
Hakuna haki bila wajibu; hakuna wajibu bila haki