Habari wana jf!da mwenzenu nipo kwenye mtego...nina msichana mmoj wa kizungu toka state ananitesa sana.....tulikua marafiki kupitia facebook miaka mitano nyuma akaniambia ananipenda sana na ipo siku atakuja africa kwa sababu yangu.......mwishoni mwa mwaka jana amekuja......tatizo ni moja tuu ananishawishi nijiunge kitu ambacho sikifahamu....na kinanitisha sana tukiwa zenji siku ya mkesha wa mwaka mpya niligundua tattoo ya no#666 kwenye ziwa nilipo uliza akasema nipunguze maswali na tangu siku hiyo ananishawishi vitu vya ajabu ajabu mala anataka nijiunge na vitu ambavyo sivielewi kiundani...anadai naweza kuwa na uwezo mkubwa sana ndani ya africa na ulimwengu ukanitambua......naombeni ushauli ndugu zangu....nijiunge na hii kitu