CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Primitivity or cultural conservatism? Ujima au kutunza mila? Kutokwenda shule/kutostarabika? Lipi ndugu zetu wamasai wanalisimamia?
Duh! Wewe ni noma.
Kuna kitu nilikuwa naringishiwa juu ya ndude zao so nikaona huo ndo upenyo wa kuweza kuona na kuprove...........
Nouemer!!!oa
Ni hatari hii. Maana shuka likimkaba mtu au kukwama mguuni utasikia mtu kavunja mbavu. Nashauri serikali Edward Lowassa awanunulie vifaa vya michezo waondokane na hii hatari. Pia waangalie wanapocheza mpira wakitokea wezi wa mifugo watawaacha kwenye mipira na kuondoka na ng'ombe.
Duh! Wewe ni noma.
Kuna kitu nilikuwa naringishiwa juu ya ndude zao so nikaona huo ndo upenyo wa kuweza kuona na kuprove...........
Nouemer!!!oa
uwiii, una tabia!
ulikigusa, hehehehe
Hao ni wa siku hizi wanaovaa kaptura....naona wameona maduka ya nguo yameongezeka labda.
uwiii, una tabia!
ulikigusa, hehehehe
eeei jameeniii
nna tabia gani tena? na kuligusa linini tena? hihihihihihhiiiiii!!
Hivi hujui kuwa mie ni mmasai?Duh! Wewe ni noma.
Kuna kitu nilikuwa naringishiwa juu ya ndude zao so nikaona huo ndo upenyo wa kuweza kuona na kuprove...........
Nouemer!!!oa
Me mmasai bana nasema me mmasai.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hivi hujui kuwa mie ni mmasai?
Me mmasai bana nasema me mmasai.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
ntaamini kama we ni mmasai ikiwa ntakuchungulia ili niprove kitu..........
hivi sheria za michezo zinaruhusu michezo kwa stail hii ya uvaaji?
halafu kwani hawa huwa wanavaa pichu? sasa inakuwaje si yoyoyo zinapata tabu?
ntaamini kama we ni mmasai ikiwa ntakuchungulia ili niprove kitu..........
Mmh jamani wewe!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Mmh jamani wewe!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
basi ntavizia chabo kwa wengine naona wewe unaogopa!!!