Halafu hizo nguo zikiwavuka inakuwaje?
Halafu mbona kama hilo ni jiwe na sio mpira..
kwa wenyewe sidhani kama ni tatizo............
watazamaji labda........
Haaahaaa! Siwezi kusogea karibu na hiyo ngoma nikiwa na watoto.
Ni hatari hii. Maana shuka likimkaba mtu au kukwama mguuni utasikia mtu kavunja mbavu. Nashauri serikali Edward Lowassa awanunulie vifaa vya michezo waondokane na hii hatari. Pia waangalie wanapocheza mpira wakitokea wezi wa mifugo watawaacha kwenye mipira na kuondoka na ng'ombe.
Duh! Wewe ni noma.hahahahaaaa Ndahani ni noumer!
lkn siku moja nilipita walikuwa wamekaa wamasai kama watano hivi, nikavuta jicho nione kama ndude zipo nje ama vipi...hee ndani wamevaa kaptura banaa! Nikasema wameniweza maana nilijua ntapiga chabo hapo...........
hahahahaaaa Ndahani ni noumer!
lkn siku moja nilipita walikuwa wamekaa wamasai kama watano hivi, nikavuta jicho nione kama ndude zipo nje ama vipi...hee ndani wamevaa kaptura banaa! Nikasema wameniweza maana nilijua ntapiga chabo hapo...........