MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Taabu kubwa ni pale ukame unapotekea na mifigo kufa en mass!
Na kwa vile ni wahamaji..basi hata namna ya kuwasaidia wakipata shida..ni taabu sana!
Pia kuwapa huduma kama shule, afya na maji safi ni ngumu!
Na kwa vile ni wahamaji..basi hata namna ya kuwasaidia wakipata shida..ni taabu sana!
Pia kuwapa huduma kama shule, afya na maji safi ni ngumu!