hao si wamasai..jombaa unakurupuka tu kama umekimbizwa toilet...wamasai hawavai nguo wala urembo wa namna hiyo..huwa wanavaa rubega za rangi nyekundu, na wanawake za bluu..umechemka mzee kajipange upya..accessories zenyewe sio hizo..hayo yatakua makabil amengine ama wabarbaig ama makabila ya kule sudan karibia na mto nile...ila sio wamasai..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.