Wamasai huchomeka mkuki mlangoni mwa nyumba ya yeyote yule na kuduu na mke mtu yeyote aliyemo ndani.Wao mwanamke ni mali ya jumuiya na hutumika na wote.
Taratibu ni:
1.boy/dume la kimasai huchunguza kama mwenye mke ametoka ingalao umbali wa mita 200 (hairuhusiwi kumkuta mume mtu alafu utake kula tunda)
2.Huchomeka mkuki mlangoni kama ishara kuwa kuna mwanaume ndani anaongeza idadi ya watoto.
3.Mwenye mke hutakiwa kuzuga shambani au kichakani mpaka jamaa limalize shughuli.
Wana JF hi imekaaje?mila za kwenu zipoje?
Taratibu ni:
1.boy/dume la kimasai huchunguza kama mwenye mke ametoka ingalao umbali wa mita 200 (hairuhusiwi kumkuta mume mtu alafu utake kula tunda)
2.Huchomeka mkuki mlangoni kama ishara kuwa kuna mwanaume ndani anaongeza idadi ya watoto.
3.Mwenye mke hutakiwa kuzuga shambani au kichakani mpaka jamaa limalize shughuli.
Wana JF hi imekaaje?mila za kwenu zipoje?