wamasai na mila ya kuchomeka mkuki ujanja wa kufaidi vya wenzao

Marytina

JF-Expert Member
Jan 20, 2011
9,280
7,124
Wamasai huchomeka mkuki mlangoni mwa nyumba ya yeyote yule na kuduu na mke mtu yeyote aliyemo ndani.Wao mwanamke ni mali ya jumuiya na hutumika na wote.

Taratibu ni:
1.boy/dume la kimasai huchunguza kama mwenye mke ametoka ingalao umbali wa mita 200 (hairuhusiwi kumkuta mume mtu alafu utake kula tunda)
2.Huchomeka mkuki mlangoni kama ishara kuwa kuna mwanaume ndani anaongeza idadi ya watoto.
3.Mwenye mke hutakiwa kuzuga shambani au kichakani mpaka jamaa limalize shughuli.

Wana JF hi imekaaje?mila za kwenu zipoje?
 
Ningekaa ndani mwaka mzima au kila ninapotoka kupiga misele mke lazima abaki ndani nachomeka nje mkuki ili wakware wajue kuna mtu ndani!!!Baasi,as simple as that
 
Ningekaa ndani mwaka mzima au kila ninapotoka kupiga misele mke lazima abaki ndani nachomeka nje mkuki ili wakware wajue kuna mtu ndani!!!Baasi,as simple as that
wakware huja hata kumi na mbili asubuhi yaani hata ukipeleka ngombe malishoni kwa dakika kumi jamaa utamkuta kashachomeka.Pia wanaruhusu mashitka dhidi ya yeyote anayetumia mabavu kumzuia mkware kama alizingatia taratibu
 
Ndo hapooooooooooooooooooooo, nataka nijue atakubali na huyo mchumba wake mmasai???
kweli hiki ni kikwazo kikubwa kuliko ingawa jamaa amekulia hapa A TOWN wanaukoo wenzie wa huko engaruka wanawazia sna
 
Wamasai huchomeka mkuki mlangoni mwa nyumba ya yeyote yule na kuduu na mke mtu yeyote aliyemo ndani.Wao mwanamke ni mali ya jumuiya na hutumika na wote.

Taratibu ni:
1.boy/dume la kimasai huchunguza kama mwenye mke ametoka ingalao umbali wa mita 200 (hairuhusiwi kumkuta mume mtu alafu utake kula tunda)
2.Huchomeka mkuki mlangoni kama ishara kuwa kuna mwanaume ndani anaongeza idadi ya watoto.
3.Mwenye mke hutakiwa kuzuga shambani au kichakani mpaka jamaa limalize shughuli.

Wana JF hi imekaaje?mila za kwenu zipoje?


Unapenda sana Ngono! Hebu Kumbuka sisi wenye majeraha ya Mabomu Gongo la Mboto
 
Wamasai huchomeka mkuki mlangoni mwa nyumba ya yeyote yule na kuduu na mke mtu yeyote aliyemo ndani.Wao mwanamke ni mali ya jumuiya na hutumika na wote.

Taratibu ni:
1.boy/dume la kimasai huchunguza kama mwenye mke ametoka ingalao umbali wa mita 200 (hairuhusiwi kumkuta mume mtu alafu utake kula tunda)
2.Huchomeka mkuki mlangoni kama ishara kuwa kuna mwanaume ndani anaongeza idadi ya watoto.
3.Mwenye mke hutakiwa kuzuga shambani au kichakani mpaka jamaa limalize shughuli.

Wana JF hi imekaaje?mila za kwenu zipoje?



Hii imenikumbusha kisa cha afande mmoja pale Kijitonyama Mabatini alikuwa mmasai na mkewe mmasai,jamaa alipiga marufuku mkewe kuvaa kimasai na yeye hakuvaa kimasai hata siku moja ili kujificha.Bahati mbaya siku moja mkewe akawasemesha wamasai wenzake kwa lugha ya kwao na wale jamaa kusikia hivyo kesho yake mmoja wao akaja na mkuki wake akauacha hapo mlangoni,basi afande mmasai kurudi nyumbani anakuta mkuki mlangoni..!! We...!!! Palichimbika hapo na wala hapakutosha mpaka mkuu wa kituo akaja kuamulia kwa kumuweka ndani mgoni.....na mmasai akahamishwa kituo.
 
kweli hiki ni kikwazo kikubwa kuliko ingawa jamaa amekulia hapa A TOWN wanaukoo wenzie wa huko engaruka wanawazia sna

Sasa wewe unafikiria kufanyaje na ndo unaelekea kuwa mke wa mmasai?? Kila mkwere aje akubandue watoto wa3, si utazeeka siku si zako??/
 
Unapenda sana Ngono! Hebu Kumbuka sisi wenye majeraha ya Mabomu Gongo la Mboto
where ie the relationship between hii sredi na ngono?

Nimewapa pole mara kibao ila kwa kuwa hukuona hilo hii hapa nyingine, AGAIN POLENI SANA WAATHIRIKA WA MABOMU GONGOLAMBOTO! i hope u r now okey au nikubadilikie sasa hivi?
 
Back
Top Bottom