supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Wamasai ni watanzania wenzetu na wanaotambulika ulimwenguni kuliko kabila lolote lile la kitanzania kutokana na utamaduni wao kuanzia jinsi wanavyoishi hadi mavazi yao.
Tatizo langu linakuja pale wale ndugu zetu wa kimasai wanapotoka na kuja mjini. leo nimepanda daladala ambalo ni usafiri wa umma. Muda mfupi wakapanda wamasai sita wote na marungu na masime na mafimbo wakiwa na nguo zao za asili. ivi ni salama kweli kwa hawa ndugu zetu kuwa wanatembea na hizi silaa huku mjini? tena hawana ngombe wa hakuna hatari ya simba wala mnyama pori yeyote yule?
kwani haiwezekani na kufanya kitu watu wa rome kule italia husema ukiwa roma fanya waroma nanachokifanya. Yani wakiwa huku mjini kama hawawezi kuvaa nguo za kawaida basi hata zile silaha waziache home.
Kwa bahati mbaya umemchoma mtu na sime kwenye daladala inakuwaje sasa?
Wana jf hili swala mnalionaje?
Tatizo langu linakuja pale wale ndugu zetu wa kimasai wanapotoka na kuja mjini. leo nimepanda daladala ambalo ni usafiri wa umma. Muda mfupi wakapanda wamasai sita wote na marungu na masime na mafimbo wakiwa na nguo zao za asili. ivi ni salama kweli kwa hawa ndugu zetu kuwa wanatembea na hizi silaa huku mjini? tena hawana ngombe wa hakuna hatari ya simba wala mnyama pori yeyote yule?
kwani haiwezekani na kufanya kitu watu wa rome kule italia husema ukiwa roma fanya waroma nanachokifanya. Yani wakiwa huku mjini kama hawawezi kuvaa nguo za kawaida basi hata zile silaha waziache home.
Kwa bahati mbaya umemchoma mtu na sime kwenye daladala inakuwaje sasa?
Wana jf hili swala mnalionaje?