kwa hiyo wewe ungemsaidia kujua ilhali namba haina jina?kwa nini hukumsaidia kujua ile ilikuwa namba ya nani?
inawezekana yeye hajui kusoma hivo ungemsaidia....au macho yake hayaoni vizuri hivo ungefikiri hivyo na hata kumuuliza ungepata jibu mwishowe ungemsaidia kuliko kutuletea thread................WATCH OUT!!!!!!!
Ulijuaje alikua mmasai?
haha haaa asante sana. hata yako nimeizimia mno
Avatar yako matata mnooo
Kumbe mavazi ya kimasai,lakini sio mmasai?Kwahiyo hata ukiona mbongo kavaa kihindi utamwita muhindi?alivaa kimkasai
Exactly!Hapooo juu kimbweka amezimikia avatar ya dorin au sijamsoma vyema..naona kimbweka anapenda mambo flani hivi!