ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Inasikitisha sana lakini ukweli ni kwamba hili limetokea leo mjini dodoma.
Mmaasai mmoja kamuua mwenzake kwa sime. Chanzo cha ugomvi ni ugomvi wa
hao wamaasai wakigombea mwanamke ambaye alikuwa mteja wao lakini
pia kila mtu alikuwa 'akirusha naye
roho' kwa nyakati tofauti.
Mbaya zaidi ni kwamba huyo mwanamke wa kiswahili alikuwa ni
mteja wao wa nywele na kwamba kumbe mdada alikuwa anawatumia kimapenzi ili
awe anasukwa 'bure' na kweli alifanikiwa kwa hilo. Jamaa waliamua kuwekeza kwake
kwa kumsuka bure in return for sex. Sasa ugomvi ulifumuka leo adhuhuri walipogundua
kumbe wote wamepangwa na kila mtu anaona ana haki zaidi kuliko mwenzake
Waliposhindwa kuelewana, basi mmoja akaamua kumfyeka na sime
mwenzake na leo mida ya asubuhi maeno ya Robert Hotel, mnaoijua dodoma nadhani
mnaweza jua eneo hilo.
My take: Wenye wake kuweni macho, wanawake wengine hawaeleweki jamani. Usikute ili ku-reduce cost au
kale kiharufu cha wamaasai kumbe kwa ladies wengine usikute ndo kinawavutia
as if ni perfume wanaishia kutoa mzigo
Mmaasai mmoja kamuua mwenzake kwa sime. Chanzo cha ugomvi ni ugomvi wa
hao wamaasai wakigombea mwanamke ambaye alikuwa mteja wao lakini
pia kila mtu alikuwa 'akirusha naye
roho' kwa nyakati tofauti.
Mbaya zaidi ni kwamba huyo mwanamke wa kiswahili alikuwa ni
mteja wao wa nywele na kwamba kumbe mdada alikuwa anawatumia kimapenzi ili
awe anasukwa 'bure' na kweli alifanikiwa kwa hilo. Jamaa waliamua kuwekeza kwake
kwa kumsuka bure in return for sex. Sasa ugomvi ulifumuka leo adhuhuri walipogundua
kumbe wote wamepangwa na kila mtu anaona ana haki zaidi kuliko mwenzake
Waliposhindwa kuelewana, basi mmoja akaamua kumfyeka na sime
mwenzake na leo mida ya asubuhi maeno ya Robert Hotel, mnaoijua dodoma nadhani
mnaweza jua eneo hilo.
My take: Wenye wake kuweni macho, wanawake wengine hawaeleweki jamani. Usikute ili ku-reduce cost au
kale kiharufu cha wamaasai kumbe kwa ladies wengine usikute ndo kinawavutia
as if ni perfume wanaishia kutoa mzigo