WHAT A WASTE!
Mungu kawaumba vizuri kwa kila namna... wanaume waliokamilika.... wanatafuta nini kujiingiza kwenye machukizo ya kutisha hivi?
Mungu ana subira sana na wanadamu.....
Kwa hili binamu nakuunga mkono. Ila mpaka midume inamegana yenyewe kwa yenyewe ni kwa sababu wanawake mmeshindwa kazi.
Mimi naelewa kuwa ili uume uingie katika tundu lazima usimame vizuri. Kusimama vizuri kwa uume kunasababishwa na hisia(maandalizi kiakili).Kwa asili mume akimwona mwanamke (hasa katika hali ya utupu) ni rahisi kupata msisimko utakaopelekea kusimamisha uume.Sasa kuna kitu huwa sikielewi kwa hawa mashoga anawezaje kusimamisha (stimulate)uume kwa kutazama maumbile ya utupu ya mwanamume mwenzake.Naamini lazima uwe kichaa kulitekeleza hili.
wewe nawe haya mambo wengine wanayaanzia udogoni kabla hata hawajaoa...sasa utawaweka kundi lipi?...na wewe mkeo akishindwa hiyo kazi unayoizungumzia ndio utachukua hatua hii?
Naona umeamua kumchemsha kichwa Nyamayao wa watu.:becky::becky::becky:Lesbian ni tamaa tu za wanawake. Hamridhiki nyie hata mkifanywaje. Hahahaha!