Siijui kiundani ila kwa mtaani wafanyakazi wake wanatesa sana na wako vizuri. Most of them pale naona kama ni indegeneous, sijawaona hao wamarekani. Ngoja wengine wenye more dtails watakuelezea
Siyo wabaya, kuna Mmarekasni mmoja mwanamke ambaye ni Site Director, M Cameroon ambaye ni incharge wa Lab na wanaobaki ni wabongo. Malipo yao ni ya kawaida kwa mtu mwenye profession yake, ujasusi ni kama kawa kwa kila alipo mmarekani. Ofisi zao zipo ndani ya majengo ya zamani sana katika hospitali ya rufaa. Hire and fire ni mtindo wa istitution nyingi za kigeni kwa kuwa hawahitaji mzaha wa kibongo. Ukitibua jiandae na termination notice ya saa 1 au nusu saa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.