Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
for Zinduna's sake, I badly need a replay!
Sawasawa?
akhu nishaacha huo mchezo mpaka ndoa sasa
for Zinduna's sake, I badly need a replay!
Sawasawa?
uuuuuuwiiii hahahahhahahaa hivi kongosho haya maneno unayatoa wapi...!?
for Zinduna's sake, I badly need a replay!
Sawasawa?
akhu nishaacha huo mchezo mpaka ndoa sasa
Maisha hayana riheso
ishakula pande yako
Huwa anapaka ndimu baada ya kuchakachuliwa na kucameruniwa!
Kuna watu humu wanadhani eti mie nishashiriki tendo kabla ya ndoa, jamani nakuapieni wallaahi wala sijawahi hata siku moja. Ni kweli ninao marafiki wa kiume wengi sana wengine naishi nao eneo moja na wengine nimekutana nao FB na hapa JF. Niimeshawahi kuwa na mitoko na baadhi ya marafiki zangu tukiwa na baadhi ya marafiki zetu wa kiume mara kadhaa, lakini si zaidi ya hapo. Wale mnaodhani kuwa nishawahi, leo nawaambieni sivyo hivyo, sijawahi na wala haitatokea hadi pale nitapompata yule nimtarajiae. Nimelelewa na kukuzwa katika maadili ya kidini ambapo ninaamini tendo kabla ya ndoa ni batili na ni dhambi kubwa kwa Mnyaazi Mungu.
Hili ni jibu kwa wale wanaoni-PM kifedhuli .Ahsanteni kwa kunielewa! LOL