Mkuu inawezekana hujamwelewa Pombekali. Wale jamaa wana vyuo vyao wanahitimu wengine wakiwa under 10. Kwa mfano Dar vimejaa tele huko uswahilini; nenda Tandika, Tandale, Kijichi, kote huko vimejaa.Chuo chenyewe ni hicho cha kudanganya umma kwa picha feki za internet? Sasa Iwapo Sheikh anasema uongo namna hii tumwamini nani? Mnataka kuleta fujo zisizokuwa na maana. Iwapo umesoma Chuo hebu copy link ya hiyo picha na kisha u-google ili uone uongo wa Sheikh wako!!!!
You are right!! Click here!!
[h=3]Fake Bullet Holes And Damage Stickers Make The Perfect Illusion ...[/h]bikeaddicts.net/.../img.auctiva....
30+ items fake bullet holes and damage stickers make the perfect illusion ...
Item:6512419 Fake Bullet Holes - Who Shot My Truck???? : For Sale at seller s description fake bullet holes set of 4 318x261
I doubt if we are in the same wave length.You disappoint me too!
You've completely "missed" Mwanakijiji's point!
Hiyo picha iliyoletwa inauhusiano upi na Uamsho?
Thanks for understanding the bluff!nope...
Jesus said:Kwa nini Sheikh anasema uongo na kudhamiria kuleta machafuko?
Kwa hili CHADEMA na CCM wameungana!
zanzibar itakuwa huru INSHALLAH .makafiri hampendi taifa la kiislam zanzibar.kwani mnangangania kisiwa kidogo kama hiki.
Kwa nini Sheikh anasema uongo na kudhamiria kuleta machafuko?
Kwa hili CHADEMA na CCM wameungana!