Walitaka kuniuwa, asema Sheikh Farid

Mnaogopa nini sasa? Si mnajifanya magaidi ninyi!

Kwanza acheni kulidharirisha jeshi la polisi kwa picha feki,hakuna askari ambaye ata hamua kurusha risasi ikamkosa huyo gaidi.

Si mnataka kupambana na serikali huku mkikimbila kanisani kuchoma makanisa! Dawa yenu ni kufungua maghala ya silaha kwa ajili ya magaidi ya uamsho.

Uwoga ni mbaya sana,kumbe mnaogopa risasi,sasa ninyi magaidi gani? Mbona waoga sana ninyi wachoma makanisa?

Dawa ya makundi kama uamsho,boko haram, alsha bab ni kutumia mabomu na risasi za moto.

NB: KAMA MNAOGOPA RISASI HACHENI KUCHOMA MAKANISA:
 
Chuo chenyewe ni hicho cha kudanganya umma kwa picha feki za internet? Sasa Iwapo Sheikh anasema uongo namna hii tumwamini nani? Mnataka kuleta fujo zisizokuwa na maana. Iwapo umesoma Chuo hebu copy link ya hiyo picha na kisha u-google ili uone uongo wa Sheikh wako!!!!
Mkuu inawezekana hujamwelewa Pombekali. Wale jamaa wana vyuo vyao wanahitimu wengine wakiwa under 10. Kwa mfano Dar vimejaa tele huko uswahilini; nenda Tandika, Tandale, Kijichi, kote huko vimejaa.
 
You are right!! Click here!!

[h=3]Fake Bullet Holes And Damage Stickers Make The Perfect Illusion ...[/h]bikeaddicts.net/.../img.auctiva....
30+ items – fake bullet holes and damage stickers make the perfect illusion ...
Item:6512419 Fake Bullet Holes - Who Shot My Truck???? : For Sale at
seller s description fake bullet holes set of 4318x261


weeeeeeee ni nomaaaaaaaaaaaa
ume waumbua vibaya sana hawa magaidi, pokea like yangu.

Yan wanataka kujifanya wa janja kweli this is home of great thinkers.

Safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii+iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hiyo picha iliyoletwa inauhusiano upi na Uamsho?

hiyo picha kwanza ni fake, alaf huyu si sheikh wa uamsho kwa hiyo walita kutuambia amekoswa na risasi na hawezi kukoswa na risasi bali atapigwa kama ataendelea
 

........akini niseme mimi ile gari sio yangu ila nilipewa kwa kutumia kwa ajili ya shughuli za kuendeleza hizi harakati zetu",
...........


Mimi nimeipenda zaidi hii....niliwahi kusema kuwa hawa jamaa wanachezea hela za mabwana zao huko uarabuni sasa wameanza kukiri wenyewe.....alipewa...na nani?? Kwa manufaa gani?? Tutasikia na kuona mengi.


 
zanzibar itakuwa huru INSHALLAH .makafiri hampendi taifa la kiislam zanzibar.kwani mnangangania kisiwa kidogo kama hiki.
 
Kwa nini Sheikh anasema uongo na kudhamiria kuleta machafuko?
Jesus said:
"44 You are of your father the devil, and your will is to do your father's desires. He was a murderer from the beginning, and has nothing to do with the truth, because there is no truth in him. When he lies, he speaks out of his own character, for he is a liar and the father of lies. "

John 8:44
 
Duh yaani hawa kweli vilaza!
Hata ku edit tu watudanganye vizuri wameshindwa!
Hamna kitu kabisa apa!
 
Kwa hili CHADEMA na CCM wameungana!

Definitely. Nchi iko vitani na magaidi hivyo ni wajibu wa wananchi kuungana, hata ikibidi na Shetani 'mwema', dhidi ya adui wa taifa. Hili sio suala la itikadi wala mtamzamo bali "tumeingiliwa".
 
Yana huu uongo wa kitoto kabisa, sasa wameumbuka uamsho!

Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Kwa nini Sheikh anasema uongo na kudhamiria kuleta machafuko?

Kaleta uongo wapi?

Alisema wapi kuwa picha hiyo ni ya gari yake?

Kama kuna uzembe na uongo ni wa mwandika makala, maana yeye ndiye aliyeweka picha bila ya kutoa maelezo yahusikayo

Tanabahi:
Kwa kazi yoyote ya kiuandishi unayowasilisha vielelezo, inatakiwa kwa sheria na kanuni za uandishi kuweka maelezo yanayohusu vielelezo hivyo [chini ya kielelezo], pamoja na chanzo cha vielelezo hivyo

Kwenye taarifa/makala tuliyoletewa hakuna maelezo wala chanzo cha vielelezo hivyo
 
Back
Top Bottom