Mzalendowetu
Member
- May 22, 2012
- 87
- 34
Katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015, tutashuhudia tabaka la vijana waliozaliwa baada ya kuanzishwa mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini wakipiga kura kwa kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani. Wengi wa hawa vijana, ni wale ambao wamepata elimu duni ya sekondari kwa kusoma katika shule za kata zilizoanzishwa kwa wingi miaka ya 1990. Nini maoni na mtazamo wako kwa kundi hili kushiriki kuchagua viongozi wao?