Nimeenda kushuhudia mwenyewe kwakweli inatia shaka mmoja ni kondakta wa gari za marangu mwingine ni mkaazi wa mbuyuni fundi baiskeli hawa nawafahamu vizur pas na shaka wengine watatu siwafahamu.Tetesi nyingine kuna askar wa JWTZ amejeruhiwa na wanaodhaniwa majambazi kwenye eneo la tukio.Pia waliohusika na operesheni walitoka moshi mjini
News Star Tv zimeonesha majambazi wa5 wameuawa Moshi.
Nachelea yasijekuwa mambo km ya Zombe na wafanyabiashara wa madini wa Mahenge kwa sababu:
1. Waliouawa ni wa5 ila wamekutwa na mapanga nane na bunduki na bastola kadhaa.
2. Kwamba walikuwa wanaiba sink la chooni kwenye nyumba fulani, wakalifanyie nini?
Sina imani na polisi, isije kuwa watu wameuawa na kuporwa, wakisingiziwa ujambazi.
Kama kuna eye witnesses watiririke na kuelezea scenario ilivyokuwa i.e. Kama kulikuwa na fire exchange, etc
...............NI JUKWAA LA SIASA.
...................ni jukwaa la siasa.news star tv zimeonesha majambazi wa5 wameuawa moshi.
Nachelea yasijekuwa mambo km ya zombe na wafanyabiashara wa madini wa mahenge kwa sababu:
1. Waliouawa ni wa5 ila wamekutwa na mapanga nane na bunduki na bastola kadhaa.
2. Kwamba walikuwa wanaiba sink la chooni kwenye nyumba fulani, wakalifanyie nini?
Sina imani na polisi, isije kuwa watu wameuawa na kuporwa, wakisingiziwa ujambazi.
Kama kuna eye witnesses watiririke na kuelezea scenario ilivyokuwa i.e. Kama kulikuwa na fire exchange, etc.
...................ni jukwaa la siasa.
naombeni kujua maana ya JAMBAZI,MWIZI NA KIBAKA
Wakija kwako wao wanakuua, tafakari...................!Hivi kama ni majambazi haiwezekani mkajeruhi? Ni mpaka muwauwe wote? Tunataka ufafanuzi hapa!
watu sijui wakoje polisi wakiuawa hamsemi aliyejeruhiwa hamsemi, mnajua siraha walizokutwa nazo, acheni ushabiki wa kisiasaTanzania tunaelekea wapi ?
Majambazi wakiuawa na polisi mnasema hawakuwa majambazi
Wakiachwa mnasema polisi wanakula dili na majambazi
Ngoja ninyamaze nisije nikapigwa mawe
je kuwa kondakta kunamfanya aasiwe jambazi ama kuwa fundi baiskeli?