News Star Tv zimeonesha majambazi wa5 wameuawa Moshi.
Nachelea yasijekuwa mambo km ya Zombe na wafanyabiashara wa madini wa Mahenge kwa sababu:
1. Waliouawa ni wa5 ila wamekutwa na mapanga nane na bunduki na bastola kadhaa.
2. Kwamba walikuwa wanaiba sink la chooni kwenye nyumba fulani, wakalifanyie nini?
Sina imani na polisi, isije kuwa watu wameuawa na kuporwa, wakisingiziwa ujambazi.
Kama kuna eye witnesses watiririke na kuelezea scenario ilivyokuwa i.e. Kama kulikuwa na fire exchange, etc.
Nachelea yasijekuwa mambo km ya Zombe na wafanyabiashara wa madini wa Mahenge kwa sababu:
1. Waliouawa ni wa5 ila wamekutwa na mapanga nane na bunduki na bastola kadhaa.
2. Kwamba walikuwa wanaiba sink la chooni kwenye nyumba fulani, wakalifanyie nini?
Sina imani na polisi, isije kuwa watu wameuawa na kuporwa, wakisingiziwa ujambazi.
Kama kuna eye witnesses watiririke na kuelezea scenario ilivyokuwa i.e. Kama kulikuwa na fire exchange, etc.