Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,470
- 92,857
Hana lolote bwegge tu huyo, don't buy a cheap story from him. anadhani kila aliyepo hapa JF ni mbumbumbu wa kusikiliza ngonjera zake.Ndugu yangu unajua Kuna Mungu? Kwanini kufanya mateso yale kwa binadamu mwnzako? Mkuu Jason Hata kama unalipwa vizuri but usifurahie kuua binadamu kuwafurahisha akina Kikwete et al