Mopao Joseph
Member
- Jul 1, 2009
- 34
- 0
WALIOTUDANGANYA WAFANYWEJE?
Wananchi wa mara walilalamika sana kuhusu kitendo cha wahusika wa mgodi wa north mara kumwaga sumu kwenye mto tigeti ambao maji yake yanatumiwa na wananchi wenyewe pamoja na mifugo yao.
HOJA,
alienda naibu waziri akadanganywa nae akadangaya umma.
ikaundwa tume ya wataalam chini ya waziri wa........`MAZINGIRA`.
WALIOTUDANGANYA WAFANYWEJE?
nawakilisha!!!!!
Wananchi wa mara walilalamika sana kuhusu kitendo cha wahusika wa mgodi wa north mara kumwaga sumu kwenye mto tigeti ambao maji yake yanatumiwa na wananchi wenyewe pamoja na mifugo yao.
HOJA,
alienda naibu waziri akadanganywa nae akadangaya umma.
ikaundwa tume ya wataalam chini ya waziri wa........`MAZINGIRA`.
WALIOTUDANGANYA WAFANYWEJE?
nawakilisha!!!!!