LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Sijapata kuona majitu majinga kama hawa Madiwani, wanasingizia kuwatumikia wananchi, kumbe wanataka kutumikia matumbo yao!
Na kama lengo lao ni kuwatumikia wananchi kwani ni lazima iwe ndani ya vikao vya halmashauri? Shenzi yao!
Nitamshangaa sana hakimu katika hili!
Mkubwa!
Makini sana!
Nikivamia ktk mitambo mikubwa,ntaibofia kitufe cha LIKE!