Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Wanawake waliosoma wengi hushindwa kuolewa na hawajui mapenzi ukilinganisha na wanawake ambao hawajasoma sana (Uwongo).
(Ukweli) Utafiti wa karibuni unaonesha kwamba wanawake waliosoma sasa wana uwezekano mkubwa wa kuolewa ukilinganisha na wale ambao hawajasoma. Na pia wanauwezo wa kuihimili mishindo ya ndoa. Si hivyo tuu ila wanajua maana ya kupenda waume zao. Wanayajua maisha bora, uchumi wa familia na zaidi sana wanauwezo wa kulea familia zao vizuri.
(Ukweli) Utafiti wa karibuni unaonesha kwamba wanawake waliosoma sasa wana uwezekano mkubwa wa kuolewa ukilinganisha na wale ambao hawajasoma. Na pia wanauwezo wa kuihimili mishindo ya ndoa. Si hivyo tuu ila wanajua maana ya kupenda waume zao. Wanayajua maisha bora, uchumi wa familia na zaidi sana wanauwezo wa kulea familia zao vizuri.