VPN USED2020OCTOBER28
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,505
- 671
Njooni tupeane mawili matatu hapa jamani, nimepamis sana ruco!
ICT pale kuna ticha mmoja hivi mlemavu anaitwa Kitinya anawazinguaga sana jamaa aisee, watu walipanga kumroga sijui iliishiaga wapi
ict pale kuna ticha mmoja hivi mlemavu anaitwa kitinya anawazinguaga sana jamaa aisee, watu walipanga kumroga sijui iliishiaga wapi
hapana chezea prof komba ww, zile tym zake na swaga za lecture nimemmiss sana mzee yle
kiko nchi gani hicho chuo?
iringa ..kilikuwa chuo cha benki zamani kabla ya kununuliwa na saut ina mandhari nzuri sana
university corner