Karibu ningetukana eti mziki ni pgmKwa lipi??
Karibu ningetukana eti mziki ni pgmKwa lipi??
etiii hesabu somo la marks za buree..Yah PGM nayo imesimama kimtindo ila siyo kiviiile maana hapo kuna hesabu hapo somo la marks za bure kwa hiyo hapo unabaki na masomo mawili tu
usini vunjie heshima tusheshimiane **** la mama akoMtoa post n kitoto cha six kimemaliza juzi
si kukimbia hesabu bali nilipenda na napenda kuwa daktari, ila kuhusu hesabu hapa imelalaetiii hesabu somo la marks za buree..
weee mbona uliikimbia..!!
kabla sijaingia PCB nilisoma topics za pure maths tuit maana walinilazimisha nisome PCM , ila kwa kuwa sikutaka kusoma PCM nilivyoenda shule nilichukua PCB kimya kimyaetiii hesabu somo la marks za buree..
weee mbona uliikimbia..!!
kitoto wewe watu tulisoma pcb mda sanausini vunjie heshima tusheshimiane **** la mama ako
sawa lakini sio kutumia kauli hiyo , haipendezi kwa kweli , zaidi nakuona kavu tukitoto wewe watu tulisoma pcb mda sana
Baki hvo hvoPCB si Combntn ya wadda mkuu..
tutakomaa nao tu hivyo hivyo kibishi bishiMnazungumziaje capacity ya MD mwaka huu na kufuta baadhi ya vyuo hamuoni ualimu unanukia
Nakumbuka vitabu vya biology vilikuwa vingi na vyote vimeshiba na vikubwa. Kibaya enzi zetu viliongezeka, yaani wale wa zamani walitumia mikate, ila baadaye sisi vikaongezeka vingine kama understanding biology, biological science (maarufu kama BS), sina hakika kwa sasa kama wanasoma vitabu hivyo. Ila kwangu mimi kuwa na hivyo vitatu tu ilikuwa bonge la mzigo. Pamoja na yote nilogonga A ya Bios!Kwa wale waliosoma PCB tukutane hapa ,tukumbushane mawili matatu na changamoto tulizo kutana nazo pindi tunasoma
hongera yako mkuu si mchezo kutoka na banda la biosNakumbuka vitabu vya biology vilikuwa vingi na vyote vimeshiba na vikubwa. Kibaya enzi zetu viliongezeka, yaani wale wa zamani walitumia mikate, ila baadaye sisi vikaongezeka vingine kama understanding biology, biological science (maarufu kama BS), sina hakika kwa sasa kama wanasoma vitabu hivyo. Ila kwangu mimi kuwa na hivyo vitatu tu ilikuwa bonge la mzigo. Pamoja na yote nilogonga A ya Bios!
Mechanics ilikuwa nomaa aisee , yaan dah
Pcb kweli physics mchawi wenu..Mechanics ilikuwa issue!
Dah!kutafuta mende na chura kwa ajili ya practical iliikuwa ishuKwa wale waliosoma PCB tukutane hapa ,tukumbushane mawili matatu na changamoto tulizo kutana nazo pindi tunasoma
Yan nilivyo maliza pepa la mwisho la phys nilifurahi sana kuachana nayo ,yaaan dah phys bana iacheni kama ilivyoPcb kweli physics mchawi wenu..
Ishu kweli mfano hao chura sijui nilikuwa nina mkosi gani , nilikuwa sikutani nao kabisa kila nikiwavizia naambulia patupuDah!kutafuta mende na chura kwa ajili ya practical iliikuwa ishu
Phizo bhanaMechanics ilikuwa issue!
Duuuuh pole sanaSita sahau mtiahan wa form six 2013 nilifanya pepa 3B zote chemistry and biology ingawaje nilikua CBG bt CBG wenzangu walibahatika kupga pepa 3A
Mm nilipita njia za panya kufika chuo kikuu (hapa namaanisha nilifanya dissection ya panya ambayo past pepa yake ilikuwa ya 1993 ambapo nilikuwa na miaka 2 tangu nizaliwe)
Shikamoo form six
Nashukuru gamba nimesha richukua juz
Nasubiria gamba la chuo kikuu mwez 11 mwaka huu
Mungu naomba unitimizie ndoto zng mm mtoto wa mama ntilie
Amen