Waliosoma lyamungo

Daha lyamungo shule yetuu,mchepuo wa kilimoo,pamoja na fani nyinginee......kwa ufupi nimeangalia picha hz machozi yameni bubujika,2001@2004, tukutane hapa kwanguvu tufanye k2.
 
Enzi ye2 form 2 ndo ilikuwaga inapiga kwenye dom kila baada ya prepo saa 4, viva Lyamungo viva Bureta,Marenge,Shoo,Kitalawa,Massawe,Mzuzu,Mota,Shirima,Kweka aka Mantisa,Kitalawe Nyela,Mtei,Uragee aka Lazaro,Kimaro,Kirumbuyo,Kimat,Mwanndisa na wenhine weengi.
 
Daaa Naona shule inangaa siku izi enzi zetu kuna bweni walikua wakiweka taa wanapasua wao na giza tuu,siku za nyama ni shda mzee wetu MANASSE anaweza kukuvunja hata mguu na ile staili yake ya kugawa ugali uko mita 5 keshakurushia ukidondoka chini shauri yako ilikua ni fullu ukamanda,Maputo(vyoo) mnasubiriana akitoka mtu ndo aingie mtu sharti la Kwanza lazima uvue nguo...

Mwalimu Temba fundi mkuu,Mitaa ya Tacri kule,kitu Kombo kuuza sura kule daa Lyamungo banaa imenifundsha maisha asee
 
Tupo hapa mkuu ..nilipita pale A level 2010/12 chini ya master wandiba na baadae mr sanga ..
Nakumbuka kwenda komboo kuuza sura na kula kitimoto..mama mchafuuu baadae akaja mama msafii..kantini ya mr bini akna mama adamu ticha kimata.. daah naukumbuka ule mtiti wa siku ya nyama au wali tulikua tunatoka class mapema kupanga foleni..siku ya jpili kulikua na mkate mnagaiana wanne wanne ukizubaa wenzako wanasepa na mkate..
Pia naikumbuka ile tabia ya kutupana mtaroni tulikua tunaita kuogesha....daah ile shule sitoisahau aisee ilikua haishi vitu
 
aina mbaya man, tupo wadau, mi nilikuwepo pale tangia mwaka 2000



sure mkuu, na mitaa ya kijiweni sana tu, hivi shoo bado yupo?


aaah wapi, wewe utakuwa mtoto wa umbwe wewe. Tulikuwa tunawaonea sana nyie
 
Tupo hapa mkuu ..nilipita pale A level 2010/12 chini ya master wandiba na baadae mr sanga ..
Nakumbuka kwenda komboo kuuza sura na kula kitimoto..mama mchafuuu baadae akaja mama msafii..kantini ya mr bini akna mama adamu ticha kimata.. daah naukumbuka ule mtiti wa siku ya nyama au wali tulikua tunatoka class mapema kupanga foleni..siku ya jpili kulikua na mkate mnagaiana wanne wanne ukizubaa wenzako wanasepa na mkate..
Pia naikumbuka ile tabia ya kutupana mtaroni tulikua tunaita kuogesha....daah ile shule sitoisahau aisee ilikua haishi vitu
zoez la kuogeshana bado lipoo mkuu...hua ni burudani sana
 
Daha lyamungo shule yetuu,mchepuo wa kilimoo,pamoja na fani nyinginee......kwa ufupi nimeangalia picha hz machozi yameni bubujika,2001@2004, tukutane hapa kwanguvu tufanye k2.
mkuu unanikumbusha mbali watoto wa day big wakina germanus mosses koda. raina mmasai na bwawa letu la vyura. na yale ticha wetu wz physics anayetoa notes kichwani
 
mkuu unanikumbusha mbali watoto wa day big wakina germanus mosses koda. raina mmasai na bwawa letu la vyura. na yale ticha wetu wz physics anayetoa notes kichwani
kitu cha chenga
Sisi ndo tulioanzisha kula kwenye mapoti maana kipindi kile foleni ya msosi ilikuwa mpk kwenye banda la kuni
 
kitu cha chenga
Sisi ndo tulioanzisha kula kwenye mapoti maana kipindi kile foleni ya msosi ilikuwa mpk kwenye banda la kuni
Foleni ilikua shda ile mnaanza kula saa saba -nane mchana halafu foleni ya msosi wa usiku inakukuta tena hata hujachukua msosi wa mchana siku ya disco pale social hall hapatoshii
 
hivi ule mfereji bado upo
unaokwenda kwenye mashamba ya kahawa. ulikuwa unatusaidia sisi tulio kuwa tunapiga passport asubuhi tulikuwa tunajipanga kunawa
 
Tupo hapa mkuu ..nilipita pale A level 2010/12 chini ya master wandiba na baadae mr sanga ..
Nakumbuka kwenda komboo kuuza sura na kula kitimoto..mama mchafuuu baadae akaja mama msafii..kantini ya mr bini akna mama adamu ticha kimata.. daah naukumbuka ule mtiti wa siku ya nyama au wali tulikua tunatoka class mapema kupanga foleni..siku ya jpili kulikua na mkate mnagaiana wanne wanne ukizubaa wenzako wanasepa na mkate..
Pia naikumbuka ile tabia ya kutupana mtaroni tulikua tunaita kuogesha....daah ile shule sitoisahau aisee ilikua haishi vitu
mkate?? miaka yote lyamungo hatukuwahi kula mikate hata siku 1, ni uji tu na kipindi chetu kulikuwa na homa ya bonde la ufa hata nyama tulikuwa tunaisikia kwenye bomba tu.
 
hivi ule mfereji bado upo
unaokwenda kwenye mashamba ya kahawa. ulikuwa unatusaidia sisi tulio kuwa tunapiga passport asubuhi tulikuwa tunajipanga kunawa
Nakumbuka form five wengi sana waliogeshwa na form six pale saa sita usiku wakati wa kukatwa mikia
 
mkate?? miaka yote lyamungo hatukuwahi kula mikate hata siku 1, ni uji tu na kipindi chetu kulikuwa na homa ya bonde la ufa hata nyama tulikuwa tunaisikia kwenye bomba tu.
waliwahi kuleta mikate,ilikuwa jmosi na jpili tu,.baade shule ilikuwa na madeni makubwa na watu wa tenda wakasitisha,nazani ilikuwa mwaka 2012.,
 
wakuuuu ile swiming pool pale mjengoni wanafunzi wa miaka gani wameitumiaa na mwisho wa kutumika ilikua mwaka gani?
 
Foleni ilikua shda ile mnaanza kula saa saba -nane mchana halafu foleni ya msosi wa usiku inakukuta tena hata hujachukua msosi wa mchana siku ya disco pale social hall hapatoshii

sasa hivi ni mwendo wa madishi hakuna foleni tena
 
Nakumbuka kusomea chamber zile za mabweni watu wakageuza mpaka vile vyoo vya upstairs kuwa chamber
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom