tupooooooooo tumejaaaa sema mimi nimesoma o level mpaka 2007. Baada ya form four yetu ndo wakahamishwa wale wengine.
Hahaha umenikumbusha mbali we tulimaliza wote mkuu nadhani unakumbuka ubabe wa Isaya.. alivyokuwa anatupeleka speed bila ya kumsahau Manase... Hahaaa mwendo wa Fongo