Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Wakuu napenda kuwatafuta Watanzania waliosoma Bournemouth University cha Uingereza. Kama kuna yeyote aliyesoma huko tuwasiliane jamani. Tumesota sana na baridi la Uingereza pamoja na ugumu wa maisha ya Uingereza. Nakumbuka sana msoto huo nikaona niwatafute na wenzangu ingawa labda wenzangu mlisoma kwa udhamini wa serikali, ndugu ama watu binafsi. Mimi mwenzenu nilijisomesha mwenyewe kwa kufanya kazi (za aina ile ya watu wa daraja la tatu).
Nimefanikiwa (kupata elimu na si kimaisha) na nipo hapa Bongo.
Mnapakumbuka maeneo ya Lansdown centrer, Chamister, Winton, Poole, Bournemouth Hospital, Christ church Hospital, Bournemouth square, nk? We acha tu hakika nimekumbuka mbali sana.
Mwenye kutaka mawasiliano na mimi atumie namba 0786814727
Nimefanikiwa (kupata elimu na si kimaisha) na nipo hapa Bongo.
Mnapakumbuka maeneo ya Lansdown centrer, Chamister, Winton, Poole, Bournemouth Hospital, Christ church Hospital, Bournemouth square, nk? We acha tu hakika nimekumbuka mbali sana.
Mwenye kutaka mawasiliano na mimi atumie namba 0786814727