Waliopata sufuri darasa la saba katika Hisabati

Enumi

Member
Mar 15, 2010
5
1
Ninaomba msaada, kama mtu anafahamu wapi naweza kupata takwimu za asilimia ngapi ya watainiwa wa darasa la saba, walijinyakulia sufuri katika somo la hisabati kimkoa hapa tanzania kwa miaka mitano iliyopita anitonye.
 
Back
Top Bottom