Ninaomba msaada, kama mtu anafahamu wapi naweza kupata takwimu za asilimia ngapi ya watainiwa wa darasa la saba, walijinyakulia sufuri katika somo la hisabati kimkoa hapa tanzania kwa miaka mitano iliyopita anitonye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.