KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 537
Wana JF kama una ndugu au jamaa aliyekuwa ameomba kazi utumishi, wametoa maelfu ya majina na kutangazwa kwenye gazeti la daily news la leo Ahamisi (12/04/2012). Hivyo wajulisheni wapendwa wenu ili wajue ni tarehe na mahali gani usahili utafanyika haraka iwezekanavyo maana.
Nawasilisha.
Nawasilisha.