Acha bangi, labda wewe una Daily News special kwa ajili yako. Au unaota?leo wametoa majina ya walioitwa knye interview post za operation (wako 1400...) na drivers knye daily news ya leo
nawatakia kila la kheri na maandalizi mema
deadline ni tarehe 22 jamani...sao watatoaje majina hata deadline ya implication bado....
acha bangi, labda wewe una daily news special kwa ajili yako. Au unaota?