bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Si utani. Mpaka sasa ninao wanne. Poleni sana wazee!
Shemeji niPM list na mi niongeze kama hutajali najua hapa huwezi kuweka
Si utani. Mpaka sasa ninao wanne. Poleni sana wazee!
Dah pole sana,kumbe Liyumba anakuhusu kwa karibu hivo? inabidi uende wewe kwa niaba ya mkeo,nyie si ni mwili mmoja?
Hahahahaa,ushawatembelea lakini? washauri nasaha?Wahi Bwana,matumaini ya muhimu.Mimi aibu nyingi siwezi enda mahakamani..Nitabaki tu kutukana endapo nitasikia mtu anatuma post zinazomhusu Liyumba humu..Si wajua kumegewa kuna uma sana..!!!
Mimi aibu nyingi siwezi enda mahakamani..Nitabaki tu kutukana endapo nitasikia mtu anatuma post zinazomhusu Liyumba humu..Si wajua kumegewa kuna uma sana..!!!
Shemeji niPM list na mi niongeze kama hutajali najua hapa huwezi kuweka
Naamini na hii yako inakufanya utukane maana liyumba ndo muhusika mkuu humu.
why would stress yourself??
Shem wewe! Shauri yako!
Real! Kwani matusi ni nini? hebu nitajie mfano,kwa vile mie wakati mwingine nashindwa kutofautisha maneno ya kiswahili na matusi,List ipo wazi mwenetu !! Tazama wenye kutuma post za matusi utawajua..Jana nilikuwa nasoma out comes za wagonjwa wa HIV nikaambiwa dalili moja wapo ni kwamba hawa jamaa wanakuwa aggressive sana na matusi yao yapo mdomoni..!! Sasa ukifuatilia hili utawapata kiurahisi tu..!!
Hahahahaa,ushawatembelea lakini? washauri nasaha?Wahi Bwana,matumaini ya muhimu.
Real! Kwani matusi ni nini? hebu nitajie mfano,kwa vile mie wakati mwingine nashindwa kutofautisha maneno ya kiswahili na matusi,
Kwa mfano kuna maneo yanayoelezea sehemu za mwili wa binadamu,lakini ukitamka watu wanasema ni matusi wakati tunasoma kwenye baioloji(sore ofutopik)
Kuna matumaini,wahi kwa mtume na nabii Mwingira au Kakobe ili uishi kwa matumaini ,kwa vile naona matumaini ya Angaza yamekushinda.Believe me,malengelenge yataisha na hata hiyo TB.Nakwambia ukisoma post za juzi utaona niliulizwa swali la jinsi hiyo..!!! Kwani ukisoma Kifupi cha Tongue Blister unapata herufi gani ? TB..Kisha wajua magonjwa gani yenye sign za tongue blister ? au malengelenge mdomoni ? hahahaaaa! Jina langu linafukuza wapenzi nakwambia...!!!!
cjakuelewa ujue,hata hivo hujajibu swali langu.Mmojawapo huyo ambaye bado anatumia choo cha shimo kwenye karne hii tuliyo nayo : Mna ushahidi toka kwa daktari kuwa Mzee wa watu ameathirika?
Na je kuna mwenye uhakika kuwa baba wa watu hakuwa anatumia Condom?
Acheni kukurupuka...
Kama huna cha kuandika ni bora ukachukue kopo ukachambe
Hahaaaa !! soooooooooooo SAAAAAAAAAAAD unajua !! Anataka kunirudisha kwenye ujima huyu!!!
Kabla sijachangia hii ni siasa au mapenzi?
cjakuelewa ujue,hata hivo hujajibu swali langu.
Na hizo kondomu huwa haziamini sana,ni 50% 50%
Ok,sasa nimekupata.Mbona maneno madogo tu hayo tb? Kumbe una moyo mdogo eeeh? Katika jambo lolote lazima kuwepo na chalenji kama hizo za kutofautiana maneno.Sasa ungetukanwa ungesemaje?Hata mimi sikuelewa baada ya mtu kunitumia hiyo post maana nilisita kidogo kwamba huenda tunatofautiana katika kuelewa mambo..Hayo maneno meusi nime copy ya mtu aliyotuma baada ya post yangu..! Hata mimi sijamuelewa nikaona labda wewe waweza elewa alicho maanisha..!
Ok,sasa nimekupata.Mbona maneno madogo tu hayo tb? Kumbe una moyo mdogo eeeh? Katika jambo lolote lazima kuwepo na chalenji kama hizo za kutofautiana maneno.Sasa ungetukanwa ungesemaje?
.
Je dada zangu walionunuliwa RAV 4 nyekundu ni WANGAPI HUENDA KUSIKILIZA MASHITAKA YA MR LIYUMBA SIKU HIZO AMBAZO HUPANDISHWA KIZIMBANI ?
Kuna matumaini,wahi kwa mtume na nabii Mwingira au Kakobe ili uishi kwa matumaini ,kwa vile naona matumaini ya Angaza yamekushinda.Believe me,malengelenge yataisha na hata hiyo TB.