wanajamvi sisi sote ni ndugu moja, mimi napenda kuomba wale wanajamvi ambao wamewahi kufanya interview yoyote na tume ya ajira kwa maana ya writen interview ama oral interview wawe wanaweka dondoo ama swali zima zima humu jamvini ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na hizo interview za tume ya ajira wale wenzetu ambao bado ni atafutaji. tuache ubinafsi na masihara kwenye hii thread... naamini itakua ndio msingi na suluhisho la maswali ya tume hasa yale yanayorudiwa rudiwa.naomba wanajamvi wote tushirikiane katika hili pls plskwa kuanza mimi nadondosha kitu!What are the ethics(good qualties) of public servants? ie honesty,integrity,loyalty,responsiveness,courtesy,non corrupt, etc nawasilisha