mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
ni jambo la kusikitisha sana kuona vijana wetu baada ya kuamua kujiajiri kwa kukopa pikipiki au kukodi na kujipatia ajira siku hizi ajira yao imekuwa chungu sana hata kupelekea kuuliwa kinyama na watu wenye tamaa ya kupata utajiri haraka kwa kuziuza bei ya kutupwa yaani mtu anauliwa kwa sh. laki nane au saba,
polisi wako kimya kwa nini kusianzishe ukaguzi nci nzima kuna watu wanatumia chasis no kufany boda boda hii sio fair, jan waliua kijana wa bunju pale mpiji darajani na kumtupa kisa pikipiki
polisi wako kimya kwa nini kusianzishe ukaguzi nci nzima kuna watu wanatumia chasis no kufany boda boda hii sio fair, jan waliua kijana wa bunju pale mpiji darajani na kumtupa kisa pikipiki