Wakuu Heri ya Mwaka Mpya.
Kwa wale wenye sifa tajwa hapo juu ajira zao zimetoka kwenye gazeti la Mwananchi. Nimeshindwa kufungua tovuti ya wizara ya Kilimo ili niweke hapa hayo majina kwa sababu eneo nilipo mtandao unanisumbua kidogo.
Waliobahatika kuajiriwa hongereni sana, mnatakiwa kuripoti kwenye vituo vya kazi ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo/kupata barua ukiwa na vyeti vyako vyote vya taaluma husika.
Goodluck
Kwa wale wenye sifa tajwa hapo juu ajira zao zimetoka kwenye gazeti la Mwananchi. Nimeshindwa kufungua tovuti ya wizara ya Kilimo ili niweke hapa hayo majina kwa sababu eneo nilipo mtandao unanisumbua kidogo.
Waliobahatika kuajiriwa hongereni sana, mnatakiwa kuripoti kwenye vituo vya kazi ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo/kupata barua ukiwa na vyeti vyako vyote vya taaluma husika.
Goodluck